Wajukuu zangu, hivi hakuna kabisa njia nyingine ya kujiingizia kipato iusipokuwa hii? Hapana, mimi sikubaliani kabisa na ninyi kwani huku ni kujidhalilisha wenyewe na wanawake wote kwa ujumla. To me, Big Nooo!




Kundi
la Khanga Moja la Jijini Dar limepigwa marufuku kukanyaga Mkoani Bukoba
kutokana na vitendo vya kifuska walivyovifanya huko.
Kwa
mujibu mwananchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina Rubangila aliimbia
Xdeejayz kuwa kundi hilo limeacha laana kubwa sana mkoani humo kiasi
cha kutia kinyaa hivyo wananchi mbalimbali wamesema kuwa hata siku moja
wasithubutu kutia pua zao kwenye ardhi hiyo.
Chanzo: Lewis Mbonde Blog








No comments:
Post a Comment