Sunday, January 12, 2014

WAJUKUU ZANGU, KWELI ZIPO STAILI MBALIMBALI ZA KUTAFUTA RIZIKI LAKINI HII KIBOKO.

Wajukuu zangu, hivi hakuna kabisa njia nyingine ya kujiingizia kipato iusipokuwa hii? Hapana, mimi sikubaliani kabisa na ninyi kwani huku ni kujidhalilisha wenyewe na wanawake wote kwa ujumla. To me, Big Nooo!


Kundi la Khanga Moja la Jijini Dar limepigwa marufuku kukanyaga Mkoani Bukoba kutokana na vitendo vya kifuska walivyovifanya huko.
Kwa mujibu mwananchi mmoja aliyejitambulisha kwa jina Rubangila aliimbia Xdeejayz  kuwa kundi hilo limeacha laana kubwa sana mkoani humo kiasi cha kutia kinyaa hivyo wananchi mbalimbali wamesema kuwa hata siku moja wasithubutu kutia pua  zao kwenye ardhi hiyo.
 
Chanzo: Lewis Mbonde Blog

No comments:

Post a Comment