Wednesday, January 15, 2014

Hala, hala wajukuu zangu msije mkaiga fashion hizi.

Wajukuu zangu tafadhali, nawaombeni sana msije mkaiga fashion kama hizi. Maana ntawacharaze bakora. Maana wapo wajukuu zangu wengine akina mama msipitwe. Kesho mtatinga. Marufuku nawambia. Hii ni kinyume kabisa na maadili yetu ya kitanzania. Mambo mengine tunatakiwa tuyaangalie tu na kuyaacha kama yalivyo. Natumai mmenielewa.